Sat, 20 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muda mchache ujao vinara kunako Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Timu ya Yanga, itashuka dimbani katika Uwanja wa Ilulu mkoani Lindi Kuvaana na Namungo.
Mchezo huo ni mchezo wa raundi ya sita ya Ligi Kuu bara, na katika michezo mitano iliyopita Yanga haijapoteza mchezo wowote wala kutoa suluhu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live