Mon, 1 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20 "Tanzanite" inajitupa uwanjani muda mfupi kutoka sasa kupambana dhidi ya Timu ya Taifa ya Burundi.
Michuano hiyo ni CECAFA WOMENS CHALLENGE CUP 2021, inayofanyika nchini Uganda.
Mchezo huo unapigwa katika dimba la FTC, Njeru nchini Uganda majira ya saa 10:00.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live