Sun, 28 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba Sports Club, ndio mwakilishi pekee wa Tanzania katika Michuano ya Kimatafifa Barani Afrika.
Simba wanashiriki Kombe la Shirikisho Afrika na leo majira ya Saa 10:00 jioni katika dimba la mkapa wanshuka kuvaana na Red Arrows ya Zambia katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa hatua ya makundi.
Hiki hpa kikosi cha Simba kinachoanza katika mchezo huo
Chanzo: www.tanzaniaweb.live