Sun, 17 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wekundu wa Msimbazi Simba SC, tayari wametoa kikosi chao kuelekea mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Simba inakutana na Jwaneng Galaxy ya Botswana katika Uwanja wa Taifa wa Botswana, na mechi hiyo ni kuwania kufuzu kwa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mchezo huo utapigwa majira ya saa 10:00 kwa saa za Afrika ya Mashariki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live