Sun, 31 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, usiku wa leo watashuka uwanjani katika dimba la Mkapa kupambana na Coastal Union.
Straika John Bocco, leo anaanza katika safu ya ushambuliaji akihakikisha anafanya kila awezalo kukusanya alama tatu.
Lakini pia kiungo Jonas Mkude anaweza kupata nafasi ya kucheza leo kwani yupo katika wachezaji wa akiba.
Mchezo huo utapigwa majira ya saa 1:00 usiku.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live