Sat, 20 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Namungo wanaikaribisha Yanga katika mchezo wa raundi ya sita Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mchezo huo utapigwa katika dimba la Ilulu mkoani Lindi.
Hiki hapa kikosi cha Namungo kitakachoanza mchezo wa leo dhidi ya Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live