Wed, 13 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Timu ya Taifa, Hemed Suleiman Morocco, ametangaza kikosi cha Timu ya Taifa kitakachokwenda kuchuana kwenye mashindano ya FIFA Series 2024. Wachezaji walioitwa ni makipa; Aishi Manula, Aboutwaleeb Mshery na Kwesi Kawawa.
Kocha wa Timu ya Taifa, Hemed Suleiman Morocco, ametangaza kikosi cha Timu ya Taifa kitakachokwenda kuchuana kwenye mashindano ya FIFA Series 2024. Wachezaji walioitwa ni makipa; Aishi Manula, Aboutwaleeb Mshery na Kwesi Kawawa. Orodha kamili hii hapa;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live