Wed, 29 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Pazia la Ligi Kuu Tanzania Bara 2023/24, Likifungwa jana Mei 28 tayari kila mtu ameshapata alichovuna kwa michezo ya mizunguko yote 30.
Sasa Mchambuzi wa Michezo kutoka Clouds FM, Master Tindwa yeye ametaja Kikosi chake Bora cha msimu.
Tazama Picha hapa Chini kuona kikosi hicho,
Chanzo: www.tanzaniaweb.live