Fri, 8 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa kutokea Afrika Kusini zinadai kuwa Super Sports United ya Afrika Kusini inatajwa kuiwinda saini ya mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube.
Nyota huyo amepeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba ndani ya Azam FC siku kadhaa zilizopita.
Yanga SC wanahusishwa kuiwinda saini ya mshambuliaji huyo wa timu ya taifa ya Zimbabwe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live