Wed, 8 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Simba Sc Robertinho anakuwa kocha wa 7 katika round 9 tu ligi kuu kufutwa kazi msimu huu 23/24.
Cedric Kaze - Namungo
Zubeir Katwila - Ihefu.
Habibu Kondo - Mtibwa Sugar
Ernst Middendorp - Singida FG
Hans Van Pluijm - Singida FG
Mwinyi Zahera - Coastal Union
Robertinho Oliveira - Simba SC
Unadhani ni Kocha gani anafuata katika Orodha hii? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live