Tue, 5 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Droo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa CAFCL na Kombe la Shirikisho CAFCC 2023/24 itafanyika Machi 12 Cairo, Misri 15:00 ( EAT).
Droo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa CAFCL na Kombe la Shirikisho CAFCC 2023/24 itafanyika Machi 12 Cairo, Misri 15:00 ( EAT). Droo hiyo ya hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika inasubiriwa kwa hamu na wadau na wapenzi wa Soka nchini kutokana na uwepo wa Vilabu vikongwe vya Simba na Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live