Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Hii hapa tarehe ya kuanza Ligi zote kubwa Ulaya

Erling Haaland Celebration Hii hapa tarehe ya kuanza Ligi zote kubwa Ulaya

Tue, 25 Jul 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Tarehe rasmi ambazo Ligi Kubwa Barani Ulaya zinatarajia kuanza ziemwekwa hadharani na vyama vya soka vya nchi husika.

Tanzaniaweb tunakuletea orodha kamili ya siku Ligi hizo zitakapofunguliwa kuanza kwa msimu wa 2023/24.

EPL: Agosti 11 - kuanza kwa Premier League

La Liga: Agosti 11 - kuanza kwa La Liga

Ligue 1: Agosti 11 - kuanza kwa Ligue 1

Bundasliga: Agosti 18 - kuanza kwa Bundesliga

Seie A: Agosti 19 - kuanza kwa Serie A

31 Agosti - Kufanyika kwa Droo ya UEFA Champions League

19 Septemba- Kuanza kwa UEFA Champions League

Chanzo: www.tanzaniaweb.live