Thu, 7 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jarida la France Football ambalo ni waandaaji wa tuzo ya Ballon d'Or leo Septemba 6, 2023 limetoa orodha ya walinda milango wanaowania tuzo ya golikipa bora wa mwaka ‘Yashin Trophy’ 2023.
Mlinda mlango wa Manchester United na Cameroon, Andre Onana na golikipa wa Al Hilal ya Saudi Arabia, na Morocco Yassine Bono ni wawakilishi pekee wa Afrika kwenye orodha hiyo.
Marc André ter Stegen
Dominik Livaković
Emiliano Martínez
Thibaut Courtois
Aaron Ramsdale
Mike Maignan
Yassine Bono
André Onana
Brice Samba
Ederson
Chanzo: www.tanzaniaweb.live