Sat, 27 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Klabu ya Yanga imetambulisha uzi wao mpya utakaotumika msimu wa 2024/25.
Yanga wametambulisha jezi za aina tatu ambazo ni jezi ya nyumbani, ugenini na jezi ya ziada ama jezi namba tatu.
Unaupa asilimia ngapi uzi huu wa Wananchi? Tupe maoni yako.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: