Mon, 13 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
UEFA imeendesha Droo ya mechi za hatua ya 16 na tayari kila timu imekwishajua inakutana na nani hatua inayofuata.
Droo hiyo imechezeshwa leo huko Nyon, nchini Switzerland majira y7a saa nane mchana kwa saa za Afrika Mashariki.
Tazama List kamili hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live