Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa kikosi cha Arsenal Mikel Arteta anatarajia kuwapumzisha nyota wake wengi wa kikosi cha kwanza kuelekea mchezo dhidi ya PSV utakaopigwa Jumanne hii.
Kocha mkuu wa kikosi cha Arsenal Mikel Arteta anatarajia kuwapumzisha nyota wake wengi wa kikosi cha kwanza kuelekea mchezo dhidi ya PSV utakaopigwa Jumanne hii. Arteta atawapumzisha nyota hao kwasababu tayari ana uhakika wa kufuzu hatua ya 16 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, lakini pia kwa sababu ana mchezo mzito dhidi ya Brighton mwishoni mwa wiki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live