Sun, 25 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki kisiki wa Simba, Hennock Inonga Baka ‘Varane’ ameongeza mkataba wa kuitumikia klabu ya Simba hadi mwaka 2025.
Beki kisiki wa Simba, Hennock Inonga Baka ‘Varane’ ameongeza mkataba wa kuitumikia klabu ya Simba hadi mwaka 2025. Inonga alijiunga na Simba msimu wa 2021/2022 na kuibuka beki bora wa msimu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live