Thu, 18 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nahodha wa zamani wa klabu Ya Liverpool Jordan Henderson amerejea Ulaya , atasaini katika klabu ya Ajax ya Uholanzi akitokea Al Ettifaq ya Saudi Arabia
Nahodha wa zamani wa klabu Ya Liverpool Jordan Henderson amerejea Ulaya , atasaini katika klabu ya Ajax ya Uholanzi akitokea Al Ettifaq ya Saudi Arabia Henderson atasafiri kwa ndege hadi Amsterdam leo na kusaini mkataba hadi Juni 2026.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live