Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Eden Hazard atarejea katika dimba la Stamford Bridge Kwa mara nyingine mara baada ya kustaafu kwake,atajumuika katika mchezo wa hisani utakaopigwa mwezi June,
Eden atarejea Darajani kwenye mechi ya hisani ambapo atakuwa kwenye moja kati ya timu zitakazocheza mchezo huo ambao utachezwa tarehe 9-Juni mwaka huu,
Mchezo huo pia utamshuhudia Frank Lampard akiwa kocha wa timu mojawapo huku timu nyingine ikiongozwa na kocha wasasa wa Chelsea, Mauricio Pochettino pamoja na msaidizi wake, Jesus Perez.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live