Mon, 30 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Leo ndio Usiku wa tuzo za mchezaji bora Duniani Ballon D'or, tuzo ambazo zitatolewa katika Jiji la Paris nchini Ufaransa majira ya saa 4:30 usiku.
Taarifa zinaeleza kuwa tayari tuzo hiyo kuna uwezekano mkubwa ikabebwa na Lionel Messi japo wachambuzi na wadau mbalimbali wanaamini kumpatia Messi ni kuukosea heshima mpira kwa kile Haaland alichokifanya.
Usiku wa leo ndio usiku wa kutoa sintofahamu zote kuhusu tuzo hizi, wewe unatamani nani abebe Messi au Haaland...?
Tupe Utabiri wako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live