Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Eden Hazard ametangaza kurejea kwenye soka mwezi huu baada ya Real Madrid kumalizana na mchezaji huyo.
Hazard hakuwa na wakati mzuri tangu pale alipojiunga na Madrid akitokea Chelsea msimu wa 2019
Hata hivyo Eden Hazard hajaweka wazi ni klabu gani ataenda kuitumikia baada ya kutangaza kurudi huko.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live