Tue, 15 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
aada ya mkataba wake kuvunjwa rasmi na real Madrid msimu huu Eden Hazard anafikiria kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 32 sasa!
aada ya mkataba wake kuvunjwa rasmi na real Madrid msimu huu Eden Hazard anafikiria kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 32 sasa! Mshambuliaji huyo raia wa Ubelgiji kwa sasa anapata wasaa mgumu wa kupata klabu ya kuitumikia baada ya kuondoka Santiago Bernabeu msimu huu ambapo mawazo yake tayari anawaza kuachana na mpira moja kwa moja baada ya msimu uliopita pia kutangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya taifa lake la Ubelgiji
Chanzo: www.tanzaniaweb.live