Sun, 6 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa zamani wa Dortmund Marcel Schemelzer amesema alishangaa sana Mourinho alipomtuma akampe maelekezo Ozili bila kujali wapo timu tofauti.
"Wakati najiandaa kurusha mpira nilishangaa Mouringo alikuja karibu yangu na kuniambia nenda kwa Ozil mwambie aongeze kasi wakati anashambulia , nilimshangaa sana na nilivyompa maagizo Ozil aliitikia kwa kichwa cha ajabu baada ya muda Ozil akasawazisha," Marcel Schemelzer.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live