Mon, 18 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kuanzia mwishoni mwa juma lililopita, kulikua na michezo ya mkondo wa kwanza kuwania kufuzu kwa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Kuna timu ambazo tayari zimetanguliza mguu mmoja kutokana na kufanya vyema mechi zao za raundi ya kwanza lakini zilizo nyingi bado matokeo yanaruhusu yeyote kufanhya chochote na mahali popote.
Mechi za marudiano kupigwa mwishoni mwa wiki hii, ili kupata timu ambazo zitakwenda hatua ya Makundi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live