Tue, 28 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Matokeo ya mechi nne Ligi Kuu ya Tanzania zilizochezwa leo, Jumanne, Mei 28, 2024, ambazo zilikuwa mechi za mwisho za kufunga msimu wa mwaka 2023/24 ni kama ifuatavyo;
Simba 2-0 JKT Tanzania
Yanga SC 4-1 Tz Prisons
Geita Gold 0-2 Azam FC
Singida FG 2-3 Kagera
Mashujaa 3-0 Dodoma
Namungo 3-1 Tabora Utd
Coastal Union 0-0 KMC
Ihefu 5-1 Mtibwa Sugar.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live