Wed, 15 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Crystal Palace ndiyo timu pekee ambayo haijawahi kushinda mechi yoyote ya Ligi Kuu England tangu mwaka huu 2023 uanze.
Kwenye Ligi Kuu England, Palace imefikicha mechi kibao kwenye ligi tangu mwaka huu uanze na imeshindwa kupata ushindi.
Mechi yao ijayo watakipiga na Arsenal inayopambana kunyakua taji lao la kwanza la Ligi Kuu England baada ya miaka 19.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live