Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mpaka sasa imechezwa michezo 154, Kwenye michezo hiyo ni wachezaji watano tu kutoka timu tano tofauti ndio wameonyeshwa kadi nyekundu.
Wachezaji hao ni kutoka Vilabu vya,
▪️Namungo
▪️Geita Gold
▪️Coastal Union
▪️KMC
▪️Ihefu.
Wachezaji walioonyeshwa kadi nyekundu mpaka sasa,
▪️keneth kunambi (Ihefu)
▪️Masoud Abdallah (KMC)
▪️Mwaita Gereza (Geita Gold)
▪️Hija Ugando (Coastal Union)
▪️Abdulmalik Zakaria (Namungo)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: