Thu, 16 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Michezo ya Hatua ya 16 Ligi ya Mabingwa Ulaya imekamilika jana kwa michezo miwili huku Real Madrid na Napoli wakitinga hatua ya Robo Fainali wakiungana na timu nyingine 6.
Timu kutoka Italia zinaonekana kufanya vizuri wakati huu kwani tatu kati ya nane zimetokea Italia.
Timu hizo zilizofuzu hatua ya Robo Fainali ni;
Bayern Munich (Ujerumani), Real Madrid (Hispania), Benfica (Ureno), Man City (England), Chelsea (England), AC Milan (Italia), Inter (Italia) na Napoli (Italia).
Droo ya kupanga michezo ya Robo Fainali itafanyika siku ya Ijumaa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live