Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hawa ndio Mastaa ambao kwenye maisha yao ya soka hawajawahi kupata kadi nyekundu licha ya kucheza mechi nyingi na wengine kuwa tayari wamestaafu .
Hii ndio orodha ya wachezaji hao;
1.Ryan Giggs: mechi 963
2. Raul: mechi 932
3.Karim Benzema: mechi 863
4. Andrés Iniesta: mechi 840
5. Philipp Lahm: mechi 652
6. Gary Lineker: mechi 647
Chanzo: www.tanzaniaweb.live