Thu, 2 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Miongoni mwa viwanja vitano vigumu kwenye UEFA Champions League ni Signal Iduna Park nyumbani kwa Borussia Dortmund
Hadi sasa Dortmund imefikisha mechi 11 kucheza katika uwanja wao wa nyumbani bila kufungwa [ unbeaten]
31 - Man City
15 - Bayern Munich
12 - Real Madrid
11 - Borussia Dortmund
Chanzo: www.tanzaniaweb.live