Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hatimaye hatua ya robo fainali mashindano ya African Football League (AFL) imetamatika na sasa mechi za nusu fainali ndizo zinafuata.
Katika AFL timu zilipangwa katika Pot 1 na 2 huku zile za Pot 1 zote zikiaga mashindano hayo hatua ya robo fainali zikiacha zile za Pot 2 kuendelea hatua ya nusu fainali.
Nusu fainali itakuwa;
Mamelodi vs Al Ahly (Oktoba 29 na Novemba 1)
Wydad vs Esperance (Oktoba 29 na Novemba 1)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live