Fri, 8 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Fountain Gate FC imewatambulisga makocha wao wapya NGAWINA NGAWINA kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo pamoja Ally Mustapha 'Barthez' kuwa kocha wao Mpya wa Makipa,
Ngawina Ngawina na Ally Mustapha wanachukua mikoba hiyo wakitokea klabu ya FGA talents inayoshiriki ligi ya Championship
Hii ni baada ya klab hiyo ya ya Singida Fountain gate kulivunja benchi la ufundi siku kadhaa zilizopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live