Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tetesi kutoka katika Klabu ya Yanga zinasema kuwa Nyota wanne wa Klabu hiyo wataoneshwa mlango wa kutokea Januari.
Wakati hao wanne wakionesha mlango wa kutokea, ni fagio kupisha maingizo mapya kwa ajili ya kuja kuboresha kikosi cha Miguel Gamondi.
Nyota wanaotajwa kuacha ni pamoja na;
Gift Fred
Hafiz Konkoni
Mahlatse Makudubela ‘Skudu’
Jesus Moloko
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: