Mon, 18 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Pacome amepata mgongano wa goti na Yao amepata maumivu ya nyama za paja. Kwa mujibu wa Doctor wa Yanga majibu kamili ya wachezaji hao yatatoka baada ya saa 72 kutoka mchezo wa Jana.
Pacome amepata mgongano wa goti na Yao amepata maumivu ya nyama za paja. Kwa mujibu wa Doctor wa Yanga majibu kamili ya wachezaji hao yatatoka baada ya saa 72 kutoka mchezo wa Jana. Nyota hao waliumia kwenye mchezo wao na Azam ulioisha kwa Yanga kufungwa 2-1.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live