Tue, 28 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Le Perisien wamesema kuwa PSG ambao kwa muda walikuwa wanamtaka Bernardo Silva wamekata tamaa hivyo kuna uwezekano mkubwa nyota huyo akaendelea kubaki City
Ndoto kubwa ya Bernardo Silva ni kwenda Barcelona, ila bahati mbaya Barcelona hawana uwezo wa kulipa €55 milioni kama release clause ya mchezaji huyo.
Kwa sasa Bernardo ana furaha ndani ya City na hatma ya kuongeza mktaba au maamuzi mengine ni baada ya EURO.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live