Wed, 13 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rasmi sasa Kocha Hemed Suleiman Morocco amefikia makubaliano na Uongozi wa klab ya Geita Gold juu ya kuachia nafasi yake ya Ukocha Mkuu ndani ya klabu hiyo na tayari amekwisha waaga Wachezaji na pamoja na Waliokuwa Viongozi wake klabuni hapo.
Rasmi sasa Kocha Hemed Suleiman Morocco amefikia makubaliano na Uongozi wa klab ya Geita Gold juu ya kuachia nafasi yake ya Ukocha Mkuu ndani ya klabu hiyo na tayari amekwisha waaga Wachezaji na pamoja na Waliokuwa Viongozi wake klabuni hapo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: