Mon, 29 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Barcelona, Xavi Hernandez ameweka wazi kuwa hata ikitokea Barcelona wameshinda Klabu Bingwa Ulaya UEFA bado mpango wake ni kuondoka Barcelona mwezi June.
Kocha wa Barcelona, Xavi Hernandez ameweka wazi kuwa hata ikitokea Barcelona wameshinda Klabu Bingwa Ulaya UEFA bado mpango wake ni kuondoka Barcelona mwezi June. "Tunashindana kwenye Ligi lakini pia Klabu Bingwa. Japo mashindano ni magumu lakini ni lazima tupambane. Hata kama tukifanikiwa kushinda fainali pale Wembley lazima niondoke Barcelona," kauli za Xavi kwa wanahabari.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live