Thu, 2 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Hassan Dilunga ‘HD’ kuumia kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Dodoma Jiji [Oktoba 30, 2023], Klabu ya JKT Tanzania imethibitisha nyota huyo atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi mitatu!
Baada ya Hassan Dilunga ‘HD’ kuumia kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Dodoma Jiji [Oktoba 30, 2023], Klabu ya JKT Tanzania imethibitisha nyota huyo atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi mitatu!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live