Thu, 16 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Matawi ya Simba Mkoa wa Dar es Salaam, Hassan Dalali amesema waliwahi kuwapokonya watani wao Yanga mchezaji baada ya kumfuata nyumbani kwani na kumtisha kwa silaha butu zikiwemo mapanga na nondo.
Dalali amesema hayo Mei 15, 2024 alipokuwa akifanya mahojiano maalumu na Mwananchi Digital nyumbani kwake jijini Dar es Salaa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: