Mon, 17 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
West Ham inaangalia uwezekano wa kuwasilisha ofa Manchester United ili kuipata huduma ya beki wa kati na kapteni wa timu hiyo Harry Maguire, 30, kwa mkopo katika dirisha hili.
West Ham inaangalia uwezekano wa kuwasilisha ofa Manchester United ili kuipata huduma ya beki wa kati na kapteni wa timu hiyo Harry Maguire, 30, kwa mkopo katika dirisha hili. Maguire ni miongoni mwa mastaa wanaohusishwa kuondoka Man United kwa ajili ya kutafuta changamoto mpya lakini timu nyingi zinaonekana kushindwa kumnunua kutokana na kiasi kinachohitajika na Man United kuwa kikubwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live