Mon, 10 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Harry Maguire anafanya mazoezi mara tatu kwa siku akiwa nchini Ureno kwa takribani wiki tatu sasa.
Anafanya mazoezi na beki wa zamani wa Ureno Ricardo Carvalho. Maguire bado anataka kupigania nafasi yake Manchester United, hataki kukataa tamaa.
Manchester United wako tayari kufanya biashara na klabu yoyote inayomtaka Harry Maguire.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live