Tue, 30 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wikiendi iliyopita straika wa Bayern Munich na timu ya taifa ya England, Harry Kane alifunga bao lake la 400 kwenye maisha yake ya soka.
Wikiendi iliyopita straika wa Bayern Munich na timu ya taifa ya England, Harry Kane alifunga bao lake la 400 kwenye maisha yake ya soka. Mabao hayo ni mjumuisho wa timu ya taifa na klabu tangu aanze kucheza soka la kulipwa mwaka 2010 alipopandishwa timu ya wakubwa akitokea timu B ya Tottenham.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live