Sat, 12 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kudumu kwa miaka 19 katika kikosi cha Tottenham, mshambualiaji Harry Kane leo amewaaga mashabiki wa timu hiyo na kutangazwa kuwa mchezaji rasmi wa Bayern Munich ya Ujerumani kwa mkataba wa miaka minne hadi 2027.
Hizi hapa takwimu zake akiwa Tottenham
Mechi 435
Mabao 280
Asisti 64
Kiatu cha dhahabu mara 3 EPL
Mara 1 mchezeshaji bora wa msimu EPL
Mchezaji bora mara 3 wa Tottenham kwa mwaka
Tazama Video hapa chini kumtazama Harry Kane akiwaanga Tottenham;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live