Tue, 22 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa Bayern Munich, Harry Kane (30) na mkewe Kate wamejaaliwa kupata mtoto wa kiume.
Kupitia mtandao wa Instagram Kane amesheherekea kuzaliwa kwa mtoto huyo ambaye ni wanne kwa familia hiyo jina lake wamemuita Henry Edward Kane.
Familia hiyo hivi karibuni ilihamia Munich ambako Harry amehamia kikazi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live