Sat, 15 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
FC Barcelona itawasilisha mpango kwa La Liga, mpango ambao utajumuisha kupunguza mishahara ya wachezaji kama vile Alba na Busquets na mauzo ya 24% ya Studio za Barca itakayoingiza milioni €100.
FC Barcelona itawasilisha mpango kwa La Liga, mpango ambao utajumuisha kupunguza mishahara ya wachezaji kama vile Alba na Busquets na mauzo ya 24% ya Studio za Barca itakayoingiza milioni €100. Laliga wanatarajiwa kukubali mpango huo na kuruhusu usajili wa mikataba mipya ya wachezaji.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live