Fri, 3 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Singida Big Stars, Habib Kyombo ametozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina katika mechi dhidi ya Namungo.
Mshambuliaji wa Singida Big Stars, Habib Kyombo ametozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina katika mechi dhidi ya Namungo. "Mchezaji huyo alionekana akimwaga kimiminika katika goli la Namungo,"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live