Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Erling Haaland amefunga mabao 50 ya Premier League katika mechi 48 pekee na amekuwa mchezaji wa kwanza kufanya hivyo kwenye Premier League.
Erling Haaland amefunga mabao 50 ya Premier League katika mechi 48 pekee na amekuwa mchezaji wa kwanza kufanya hivyo kwenye Premier League. Haaland alifunga bao lake la 50 kwenye mchezo dhidi ya Liverpool Jumamosi iliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live