Wed, 6 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Man City, Erling Haaland ameteuliwa kuwania tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Mwaka wa 2023 wa BBC: World Sport Star.
Mshambuliaji wa Man City, Erling Haaland ameteuliwa kuwania tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Mwaka wa 2023 wa BBC: World Sport Star. Wengine walioteuliwa: Simone Biles, Aitana Bonmati, Novak Djokovic, Siya Kolisi, Max Verstappen.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live