Fri, 22 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Manchester City na timu ya Taifa ya Norway Earling Haaland amekataa mchongo wa Netflix ambao walimuomba kuandaa documentary ambayo ndani yake itaonesha sanaa na uwezo wake mkubwa kwenye kufunga
Baada ya dili hilo kufa The Goal wametaja sababu kubwa ya Haaland kukataa kuwa ni mpango binafsi wa kulinda siri yake ju ya uwezo wake wa kufunga ambayo ndio mtaji kwenye biashara yake ya mpira.
Haaland amegoma kuuza notice
Chanzo: www.tanzaniaweb.live