Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Haaland afikisha hat Trick 18 akiwa na miaka 23 tu

Haaland Record Erling Haaland

Thu, 29 Feb 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Baada ya kufunga magoli matano dhidi ya Luton Town kwenye mchezo wa kombe la FA wakishinda 6-2, mshambuliaji wa Manchester City Erling Haaland tayari amefikisha hat-tricks (mabao matatu kila mechi) 18 katika mashindano nane tofauti tangu aanze kucheza timu za wakubwa.

Ligi kuu Uingereza (Premier League) - 5

Ligi kuu Ujerumani (Bundesliga) -3

Ligi kuu Austria (Bundesliga) - 3

Ligi ya mabingwa Ulaya (Champions League) - 2

Kombe la FA Uingereza - 2

Kombe la FA Austria - 1

OFB Cup - 1

Kombe la FA Ujerumani (DFB-Pokal) - 1

Mshambuliaji huyo ndiyo kwanza ana miaka 23, Je uaona akifika wapi?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live